Jumatatu, 5 Agosti 2013

MCHEKESHAJI MAARUFU WA ZE COMEDY EATV AFIWA NA KAKA YAKE KUPITIA AJALI YA GARI JIJINI DAR ES SALAAM LEO! SOMA HAPA

MSANII Mchekeshaji maarufu hapa nchini kutoka kundi la Ze Comedy kipindi kinachorushwa na runinga ya EATV Channel 5 ''Mtanga mtangalile'' Leo amefiwa na kaka yake kwa jina ''Azizi'' baba mmoja mama mmoja, Kwa mujibu wa mtu wa karibu habari iliifikia Masai Nyotambofu Blog kwamba
alifariki kwa ajali Jijini Dar Es Salaam, Habari zaidi kuhusiana msiba huo mtaendelea kuzipata hapa hapa, masainyotambofu.blogspot.com inampa pole Mtanga pamoja na familia nzima kwa ujumla ndugu jamaa na marafiki wote.. R.I.P Brother Azizi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni