habari za kila sikuzinazojiri
Jumatatu, 5 Agosti 2013
Mitindo ya Afrika yatamba London
Agata Reis (kushoto), raia wa Angola, aliyehamia London akiwa mtoto mdogo, anasema anapata msukumo kutoka kwa vijana wa London anapounda mitindo yake ikiwemo, muziki wa afro-house na maswala ya kisiasa kama mapinduzi katika nchi za kiarabu.
previous
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni