Jumatatu, 5 Agosti 2013

Mitindo ya Afrika yatamba London

Agata Reis (kushoto), raia wa Angola, aliyehamia London akiwa mtoto mdogo, anasema anapata msukumo kutoka kwa vijana wa London anapounda mitindo yake ikiwemo, muziki wa afro-house na maswala ya kisiasa kama mapinduzi katika nchi za kiarabu.
previous

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni