Baada ya wadau mbalimbali kuanza kuhoji kuhusu
uhalisia wa safari za mwigizaji Jennifer Kyaka (Odama) kwenda ulaya
ambaye picha zake kadhaa zilizotolewa mtandaoni wiki chache zilizopita zikimtuhumu
kuwa huwa haendi nje ya nchi bali anakuwepo nchini kwa lengo la
kutafuta “kiki” na kutengezeza picha hizo kwa program maalumu ya
kompyuta, hatimaye jana kupitia mtandao mmoja wa kijamii aliweka
picha zake mpya zinazomuonesha nchini Qatar katika maduka mbalimbali na
kwenye uwanja wa ndege wa nchi hiyo.
Picha hizi zimekuja kama ushahidi na majibu ya mwaswali
yaliyokuwa yakiulizwa na wadau wengi kuhusu mwanadada huyu. Tazama picha
hizi hapo
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni